Sunday, May 1, 2011

MEI MOSI NA MBWEMBWE ZAKE WENGINE WANANEEMEKA WENGINE HIVYO HIVYO TENA.

 Maandamano ya magari kutoka matawi mbalimbali ya sehemu za kazi yakielekea kwenye maonyesho ya Mei mosi katika uwanja wa majimaji Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma
 Tawi la TUGHE la Manispaa ya Songea wakielekea uwanjani majimaji kwenye maonyesho na hotuba za Mei Mosi mwaka huu  kiwilaya zimefanyika wilayani hapa leo.

Wengine wapata zawadi ya fedha na vyeti na wengine patuou

No comments:

Post a Comment