Sunday, May 22, 2011

KOMUNIO YA KWANZA ILIAMBATANA NA KWAYA KUKOLEZA IBADA HIYO.

 Kwaya ya Kigango cha Matarawe kikikolezea Ibada ya Komunio ya kwanza iliyotolewa na Mkurugenzi wa Miito Padre Nikodemas  Mbano.
 Padre Mbano anakomonisha watoto wa Komunio ya kwanza leo Aliyeshika Kalis ni Katekista au mwalimu wa dini wa watoto hao,kazi yake imedhihirisha pale walipoweza kujibu kaswali waliyo ulizwa kutoka kwenye katikesimu

Watoto hao wako tayari kwenda kukomunika kwa mara yao ya kwanza.Baada ya Sakramenti hiyo watoto hawa  watatakiwa kupata Kipemara.kulingana na Imani yao ya Romani Catholic ili akamilike katika uumini wao.

No comments:

Post a Comment