Wednesday, May 18, 2011

KITENDO CHA UBAKAJI KWA WAKIMBIZI NI UBINADAMU AU NI UNYAMA ?

  1. Wasomali na wa Ethiopia  wapatao 91 walioingia nchini Musumbiji bila kibali wamefanyiwa vitendo vya unyanyasaji ambapo binadamu wa kawaida hawezi kufanya hivyo,si kosa lao hawa hawana amani kwao.wanaume wamepigwa hadi kujeruhiwa,wanawake wamebakwa mbele za wanaume waliyo kuwa wamekimbia nao.
Wakimbizi hoa hawakupenda kukimbia nchi yao,wamekimbia kwa kutaka kusalimisha maisha yao,sasa wanakokimbilia kutafuta usalama nako hakuna amani.Hawa walitakiwa wapelekwe kwenye vyombo vya sheria sio kufanyiwa vitendo hivyo. ilitJe huo ni ubinadamu?
Afisa Uhamiaji wa Mkoa wa Mtwara Bwana Nestory Mpota amesema kuwa wakimbizi hao wamepokelewa mkoani humo wakati taratibu za kuwashita raia hao wa Somalia na Ethiopia kuingia nchini kinyume cha sheria. ( Source ITV )

No comments:

Post a Comment