Wednesday, May 18, 2011

WALANGUZI WA SABABISHA VIKWAZO VINGI KATIKA BARABARA ZA MTWARA - NA LINDI

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Anatori Tarimo anasema kuwa walanguzi wa mazao ya korosho katika wilaya ya Tandahimba na wilaya nyingine mkoanai wana kwepa kulipa ushuru katika halmashauri za wilaya hizo na kukosesha mapato ya taifa.
Alisema kati ya Mtwara mjini  na Tandahimba toka asubuhi hadi jioni ni magari 10 ndiyo yanapita na kupata vibari vya kusafirisha mazao.lakini imegundulika walanguzi wengi wanakwepa kulipa ushuru katika Halmashauri lakini ni hao hao wanalalamikia mikoa ya Lindi na Mtwara ina vikwazo vingi barabarani. kuliko mikoa mingine.

No comments:

Post a Comment