Wednesday, May 18, 2011

VURUGU MGODI WA NORTH MARA WANANCHI WANAUWAWA FAIDA YA SERIKALI AU WENYE MGODI ?

Serikali lazima ithamanishe uhai wa wananchi na dhahabu zinazochukuliwa na wawekezaji Nchi kubakia na mashimo,kwa sababu wa - Tanzania wanaendela kufa kwenye migodi, Pia serikali haipati faida yoyote kwenye migodi hiyo,Ni miaka 50 ya Uhuru lakini migodi haija wanufaisha wananchi wa nchi hii.
Vyombo vinatumika vibaya sana maana Polisi ni wa serikali yetu ,lakini wanatumia nguvu bila kutafakari.Si wakati wa kulaumiana cha msingi wananchi wa maeneo hayo kufuata kanuni na sheria za haki.( Source Baragumu na Chanel TEN)

No comments:

Post a Comment