Wednesday, May 18, 2011

MWANA- MAZINGIRA AFAIDIKA NA MAZINGIRA YAKE KATIKA UJASIRIAMALI MJINI SONGEA

 Bwana Thomas Mwingira akiwaelezea watumishi wa TUJIFUNZE KUSINI mali ghafi zinazotumika katika utengenezaji mifagio hiyo mali ghafi hizo ni vipyagi na miti fagio mmoja na shilingi za Tanzania 5,000/=,awali miaka ya 70 Bw.Mwingira alikuwa Pailoti wa Ngede za Jeshi la Ulinzi Tanzania JWTZ Ukonga Dar es salaam.
Bwana Thomas Mwingira ni mkazi wa Chemchem Matogoro Manispaa ya Songea 45 ni mwana mazingira ana msitu wake wa miti ya kupanda pia mfugaji wa nyuki,vilevile ni fundi wa kutengeneza mifagio ya kufangilia na kudekia kama unAvyo mwona na fagio wake akionyesha katika ofisi za TUJIFUNZE KUSINI leo.

No comments:

Post a Comment