Saturday, May 21, 2011

SHEIKH YAHYA HUSSEIN AZIKWA LEO MAKABURI YA TAMBAZA JIJINI DAR.

 Rais Dkt Jakaya Kikwete amehudhuria mazishi ya Mnajimu wa Afrika Mashariki na Kati Sheikh Yahya Hussein,mazishi yamefanyika katika makaburi ya Tamzana Jijini Dar es salaam leo.
 Baadhi ya waombolezaji wa msiba huo numbani kwake marehemu Sheikh Yahya Hussein leo
 Viongozi wa Dini wakiwa wamahitimisha sala ya kumsali marehemu katika makaburi ya Tambaza jioni ya leo
 Mheshimiwa Freeman Bowe asema kuwa Sheikh Yahaya Hussein alikuwa mtu wa watu pengo hilo halitazibika kiurahisi
Waombolezaji wakiwa na jeneza kuelekea makaburini,maelfu ya watu Jijini walifurika kumsindikiza Sheikh Yahya Hussein kwenye nyumba yake ya milele.Mungu ailaze roho ya Sheikh huyo mahali pema peponi.

No comments:

Post a Comment