Thursday, October 29, 2015

TANZANIA IMEINGIA KATIKA HISTORIA YA KUTANGAZA MATOKEO YA URAIS KWA DKT JOHN POMBE MAGUFULI NA MGOMBEA MWENZA WAKE SAMIA HASSAN SULUHU KWA KURA 8,882,935. NA KUIWEKA TANZANIA KATIKA HISTORIA YA KUWA NA MAKAMU WA RAIS MWANAMKE,WATANZANIA WANATEGEMEA MABADILIKO KAMA WALIVYO ELEZA KWENYE SERA ZAO

 Rais Mteule  Dkt.John Pombe Magufuli leo ametangazwa rasmi  kuwa Rais  wa awamu ya Tano baada ya kushinda kwa kura 8,882,935 akifuatiwa na Mhe. Edward Lowassa kwa kura 6,072,848.

Kutokana na matokeo hayo Mgombea mwenza Mhe. Samia Hassan Suluhu anakuwa makamu wa Rais wa kwanza  mwanamke Tanzania,Hongera zao.Na kwamba kesho kuanzia saa 4. watatunukiwa Hati au Cheti cha hushindi.
Mhe.Samia Hassan Suluhu Mgombea mwenza wa Dkt Magufuli  kutokana na Sera zao wameibuka kuwa washindi kwa kura 8,882,935,kesho watatunukiwa hati ya ushindi katika ukumbi Diamond Jubelee Jijini Dar es Salam saa 4 asubuhi.Hongereni sana watanzania wanasubiri mabadiliko.

No comments:

Post a Comment