Thursday, October 29, 2015

SHAMRASHAMRA KUMPONGEZA DKT JOHN POMBE MAGUFULI ZILITANZA KATIKA MJI WA MAKAO MAKUU YA CCM MJINI DODOMA ,MAGARI, PIKIPIKI ZIKIWA NA BENDERA ZA KIJANI,WAKIKSEMA HAPA NI KAZI TU.

Magari na pikipiki yakisimama kwa ghafla kupisha au kuruhusu vijana ,watu wazima ,akina mama na watoto wakiwa kwenye furaha za kupongeza ushidhi baada ya kutangazwa na Tume ya Uchaguzi .
Furaha zao zilifanywa kwa Amani na Utulivu,ambapo magari ya polisi katika mji huo yalionekana yakipita pita kuhakikisha amani inakuwepo kwa waliyo furahia matokeo na wale ambao upepo umewaendea kombo lakini wote ni watanzania na watabaki kuwa watanzania

1 comment:

  1. Uzunduzi was Sera ya Taiga ya mazingira ya mwaka 2021 umefanyika Leo tarehe 12/2/2022 na Makamu wa Raid Isidori Mpango katika viwanja vya Mwalimu Nyerere Jijini Dodoma.

    ReplyDelete