Sunday, August 19, 2012

BARAZA LA IDD LIMESOMWA KATIKA UKUMBI WA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA SONGEA LEO

Mji wa Songea na vitongoji vyake ni shamra shamra kwenda mbele,inapendeza,unapofika kwenye makutano ya barabara ya kanisa kuu na ya kutokea msikiti wa mkoa ,inapendeza kweli siku kuu ilivyo angukia Juma pili.Karibu sana kwetu Songea Ruvuma.

No comments:

Post a Comment