Sunday, August 26, 2012

Mkuu wa Moa wa Lindi awataka wananchi kushiriki na kutoa ushirikiano na makarani wa Sensa zoezi lililo anza leo nchini kwa siku 7

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe.Ludovick Mwananzila amewataka wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la Sensa iliyoanza leo nchi nzima.
Aidha mkuu huyo amesema kuwa yeyote atakaye bainika kuwasahwishi wananchi kuacha kuhesabiwa ,hatua  za kisheria zitachukuliwa zidi yake.

No comments:

Post a Comment