Friday, August 10, 2012

MUNGU NI MUUMBAJI WA VITU VYOTE NA HAINAMAKOSA

Sikuwepo katika mtandao sasa nimerudi tena,kwa nguvu ya uumbaji wa Mungu ,anaweza kufanya chote katika uumbaji wake kuonyesha uwepo wake.Fatilia na kuchunguza picha hiyo ya akina dada hao,Haina tofauti na watoto wa kike waliyozaliwa Makete waliyo ungana kwa kubebana.

Hiyo ndiyo kazi ya muumba wetu yote ni mema kwetu.

No comments:

Post a Comment