Saturday, October 24, 2015

TUNAMSHUKURU MUNGU KWA KUANZA NA KUMALIZA KAMPENI KWA AMANI NA UTULIVU, HIVYO WATANZANIA KESHO WAKATIMIZE WAJIBU WAO ,KWA AMANI NA UTULIVU ULIOKUWEPO WAKATI WA KAMPENI

Viongozi wa wametumiza wajibu wao wa kunadi Sera zao wakati wa Kampeni kwa Amani ,Utulivu,Busara zilizotumika katika kuonyesha ukomavu wa Demokrasia wa Vyama vingi.

Hivyo ukomavu huo wananchi wautumie kumpata kiongozi ambaye atatimiza ndoto za watanzania.Ni imani yetu uchaguzi utaenda salama hapo kesho kwa kuwa uchaguzi unapita,baada ya hapo majukumu yetu yataendelea kama kawaida.

Tunaipenda Tanzania yenyebamani na n chi ya mfano wa kuigwa hivyo tuulinde mfano huo,Mungu ataepusha machafuko amabayo yanatokea kwenye nchi zisizo na Amani.Tujitokeze  kuanzia saamoja asubuhi tupige kura turudi nyumbani tusubiri matokeo.

No comments:

Post a Comment