Tuesday, October 6, 2015

BLOG YA TUJIFUNZE KUSINI INATOA POLE KWA FAMILIA YA MWANASIASA MKONGWE MCHUNGAJI CHRISTOPHER MTIKILA ,PAMOJA NA WANASIASA KWA KUFUATIA KIFO CHA MWANA SIASA HUYO AMBAPO MCHANGO WAKE UILIKUWA BADO UNAHITAJIKA

Tukio la mwana siasa huyo limemshitua kila mmoja wetu , lakini hatuna uwezo zaidi wa kuamua lini na wapi na muda gani binadamu atatoweka duniani  na kwa mtindo gani,yote tumuachie Mungu kwani yeye ndiye mwenye kujua nani anamuhitaji kumchukua.
Hivyo Familia na wale wote wenye mapenzi mema kwa marehemu Mtikila kuwa na subira hasa kwa kipindi chote cha msiba huu,kwani Bwana alitoa na Bwana alichukua.Roho ya Marehemu Mungu ailaze mahali pema peponi Amina.

No comments:

Post a Comment