Sunday, May 22, 2011

65 wapata Communio ya kwanza Kigango cha Matarawe

 Mkurugrnzi wa Miito wa Jimbo kuu la Songea padre Nikodemus Mbano  ametoa Kommunio ya kwanza kwa watoto 65 katika cha Matarawe Manispaa ya Songea leo.Hivi sasa sherehe hizo ziko kwenye familia zenye watoto hao kula na kunywa.

Picha hiyo hapo chini ni watoto wa komunioa ya kwanza wanakwenda kupokea Ekaristi kwa mara yao ya kwanza.
Mama aliyesimama ni mhudumu wakati ibada mwalimu Mama Kapinga.Akiangalia utaratibu wa kominika kwa watoto hao katika kigango hicho.

No comments:

Post a Comment