Saturday, May 21, 2011

WAKUU WA WA MKUTANO WA SADC WAHITIMISHWA LEO

 Katika kutano huo Rais Jakaya Kikwete alihudhuria,na baada ya huhitimisha mkutano huo Nchini Namibia aliwahi kwenye mazishi ya Mtabiri wa Afrika Mashariki Marehemu Shekhe Yahaya Hussein
 Pia Rais Robert Mugabe za Zimbabwe alikuwepo katika mkutano huo wa wakuu wa SADC Masuala ya Madagasca yalijadiliwa.
Mkutano huo utafanyika tena baadaye kukamilisha masuala mengine.

No comments:

Post a Comment