Tuesday, May 17, 2011

Breaking News Asilimia 71 ya wakazi wa Lindi hawatumii chumvi yenye madini Joto

Wananchi wa Mkoa wa Lindi wengi hawatumii chumvi iliyo wekwa madini joto,Huyo ni muuzaji mdogo mdogo wa mji wa Lindi anasema bei ya madini joto iko juu shilingi 45,000 wao kama wauzaji wadogo hawawezi kumudu hivyo wanauza hivyo hivyo ili wayamudu maisha.
Uongozi wa mkoa huo unasisitiza watu watumie chumvi yenye madini joto kwa kuwa asilimia 71  ni kubwa mmno maana kuna hatari kubwa kupata magonjwa ya uvimbe wa goita.

No comments:

Post a Comment