Friday, May 20, 2011

NI NANI ALAUMIWE ALIYERUNDIKA TAKA ILIBAADAE ZIKATUPWE AU WATOTO WANAOTAFUTA VITU KWENYE MADAMPO HAYO?

Hilo ni Guta la kuhifadhia taka mbalimbali zinazotolewa kwnye nyumba za wakazi wa eneo la shule ya msingi Mfaranyaki Manispaa ya Songea,Leo Blog  hii iliwakuta watoto wawili mmoja alijifanya kama hana habari na nini mwenzake ndani ya guta hilo kachakura chakura taka hizo ili apate kile anachotaka kukipata.

Taka ni mkusanyiko wa taka nyingi zimeshatumika na mahali palipotupwa taka  hizo napo ni pachafu pia,watoto kwenda kutafuta vitu hapo ni kujitafutia maradhi,sasa nani mwenye kosa aliyerundika taka hizo,au watoto wanaitafuta vitu kwenye taka hizo?

No comments:

Post a Comment