Tuesday, May 17, 2011

TANZIA ( BURIANI MWANDISHI WA HABARI HAPPY KULANGA

 Marehemu Happy Kulanga alikuwa akiandikia magazeti ya Mtanzaia,Tujifunze Kanda ya Kusini na Mtangazaji wa Radio Songea,Happy Kulanga alifariki Mkoani Iringa kuzikwa jana Iringa Mlandege.
 Katika uhai wake alikuwa na ziara ya Mkurugenzi wa Elimu ya Watu Wazima na Nje ya Mfumo Rasmi Salum Mnjagila mwenye kushika kitabu kwenye Miradi ya MUKEJA NA VICOBA  Subira Songea Manispaa.
Happy Kulinga mwenye suti ya bluu akipiga picha Seed Farm Manispaa ya Songea kwenye Miradi ya MUKEJA  na VICOBA wakati wa ziara hiyo.Mungu ailaze roho ya marehemu Kulanga mahali pema peponi Amin

1 comment: