Friday, May 20, 2011

MGAO WA UMEME HAUSABABISHWI NA TENESCO

 MENEJA wa mifumo mikuu ya umeme aliiambia TBC kuwa mgao wa umeme uliyotangazwa na vyombo ya Habari hausababishwi na shirika la umeme Tanzania TANESCO hii imesababishwa na matengenzo ya mitambo ya Gesi.Alisema kuna umeme wa maji ambao ni mkubwa,unafuatiwa na umeme wa mafuta na umeme wa Gesi.
 Mitambo ya kufufua umeme iliyoko Jijini Dar es salaam Ubungo
 Kama unatokea Tazara kuelekea Ubungo mkono wako wa kushoto ukiwa kwenye daladala zitokazo Mbagala kwende Ubongo  utaiona mitambo hiyo
Mitambo ya umeme wa Gesi inayofanyiwa matengenezo na kusababisha mgao wa umeme, mafundi ndio hao wanachakarika ili umeme urejee kama zamani.

No comments:

Post a Comment