Wednesday, May 18, 2011

MAMBO YA KUZINGATIA KUPATA HATI MILKI ZA KIMILA

Bi Agnes Julius Afisa Ardhi Sekretarieti Mkoa wa Ruvuma aliiambia RCC kuwa mtu akitaka kuomba kupata hati milki za kimila sharti :-
  • Kijiji kipime mipaka.
  • kipate cheti cha kijiji
  • mipaka ya kijiji itambuliwe
  • kuwe na matumizi bora ya ardhi
  • kujaza fomu namba 18
Alisema Wilaya ya Namtumbo imeandaa hati 6,298 imetoa  hati 5,850 na Mbinga imeandaa hati 250 imetoa hati160.

No comments:

Post a Comment