Sunday, May 1, 2011

JUMAPILI YA PILI YA PASAKA PAMOJA NA MEI MOSI KAZI SIO ADHABU BALI NA BARAKA

 Baada ya Yesu Kristu kufufuka wafuasi wake waliingiwa na woga hivyo alijifungia ndani pamoja,Lakini ili neno litimie Yesu aliwatokea na kuwaambia 'Amani iwe kwenu'.ndipo mahubiri katika ibada hiyo iliyofanyika katika kanisa kuu la Jimbo kuu Songea.yalisema  tuiombee nchi yetu iwe na amani.Pia Mei Mosi tuwaombee wafanya kazi na waajiri kutimiza wajibu wao kama waajiri na wafanya kazi kama waajiriwa.Maana hali ni mbaya,wafanya kazi wanafanyakazi katika mazingira magumu,hawapati stahili zao.




kwaya ya Matias Mlumba Kalemba iliyo kolezea ibada ya leo ya jumapili ya pili ya Pasaka na Mei Mosi sherehe zilizofanyika  kiwilaya katika uwanja wa maji maji  manispaa ya Songea  Mkoani Ruvuma.

No comments:

Post a Comment