Sunday, May 1, 2011

NGOMA ZA MKOA HUU LEO ZILITUMBUIZA KATIKA SHEREHE ZA MEI MOSI

 Kikundi cha Mrisho Jakaya cha Lizaboni Manispaa ya Songea kikitumbuiza Mei Mosi mwaka huu na mkuu wa kikundi hicho ni Bwana Pius Michael
 Kikundi cha Lizombe ya ukweli sio photocopy wakitumbuiza kabla na baada ya hotuba za wageni mbalimbali Mkoani hapa.
Picha ya pamoja ya wanalizombe hao mwenye sutu ya orange ni Bwana Pius Michael mkuu wa kikundi hicho.

No comments:

Post a Comment