Saturday, May 21, 2011

UGONJWA AUSIYO JULIKANA UMEZUKA TENA SHULE YA MSINGI JUHUDI ILIYOKO WILAYA YA NAMTUMBO MKOANI RUVUMA LEO

 Wanafunzi wa shule ya msingi Juhudi wilaya ya Namtumbo mkoa wa Ruvuma wamekubwa na ugonjwa wa ajabu ambapo mwanafunzi anaanguka na kupiga kelel kama vile anachapwa,Malimu mkuu wa shule hiyo Bwana Gabriel Ngoi anasema kuwa pamoja na maombezi yaliyo fanywa na waombaji kwa imani zao lakini haikusaidia chochote,
Inasemekana ugonjwa kama huo uliwahi kutokea mwaka uliyopita,Sasa wazazi ,Jamii na shule yenyewe inalichulia vipi suala hilo nyeti?

No comments:

Post a Comment