Friday, May 20, 2011

MIPANGO YA MATENGENEZO YA BARABARA MWAKA 2010/2011 MKOANI RUVUMA YATAJWA

 MENEJA wa Wakala wa barabara TANROARDS Mkoani Ruvuma Injinia Ibraham Kasimbo aliyeshika kipaza sauti ,ametaja mipango ya matengenezo ya barabara kwa mwaka wa fedha wa 2010/2011 kuwa ni pamoja na :-
  • Matengeneo ya kawaida.
  • Matengenezo maalum.
  • Matengenezo ya kuboresha.
  • Matengenezo ya madaraja.
  • Matengenezo kwa kutumia fedha za maendeleo.
Alisema hayo siku ya kikao cha barabara (TANROARDS ) kilicho fanyika katika ukumbi wa Songea Club hivi karibuni.

Wajumbe waliyohudhuria kikao hicho walishukuru sana TANROARDS kwa kazi nzuri za utengenezaji wa barabara ya lami kutoka Songea hadi Lukumburu.Ila wameitaka TANROARDS kusimamia makandarasi kwa karibu zaidi.

No comments:

Post a Comment