Wednesday, May 18, 2011

BREAKING NEWS //////// SHERIA MYPA YA UFUGAJI MBWA NCHINI CHINA YAKOSESHA WATU RIZIKI

Sheria mpya iliyowekewa kwa wafuga mbwa nchini China itawaathiri kimaisha wananchi wanaotegema ujira wao kutokana na kuwa piga brashi mbwa wanao pelekwa kwenye saluni za watu wanaofanya kazi hiyo.

Inasemekana kuwa mtu anatakiwa kufuga mbwa mmoja ukilinganisha na sasa mtu mmoja na mbwa zaidi ya 10,kwa hiyo sheria ya kuwa na mbwa mmoja ita wafanya wa brashi mbwa wakose ajira maana idadi ya mbwa itakuwa ndogo.

No comments:

Post a Comment