KARIBU TANZANIA KUJIONEA MAAJABU YA DUNIA KATIKA MBUGA ZETU, VIVUTIO MBALILMBALI KATIKA MAKUMBUSHO YETU.KARIBU KUSINI MWA TANZANIA
Wednesday, May 11, 2011
KARIBU MKOANI RUVUMA KARIBU NA JENGO LA MKUU WA MKOA
Hapa ni maeneo ya karibu na walipo nyongwa wazee wa kingoni waliokataa utawala wa Kijerumani ambapo sasa pamejengwa mnara wa kumbukumbu ya wazee mashujaa waliyo poteza uhai wao kwa kupigania haki ya jamii ya wangoni,nyuma ya ofisi za mkuu wa mkoa na ukumbi wa Songea Club.
No comments:
Post a Comment