Sunday, May 1, 2011

LIGAMBUSA NI NGOMA MCHANGANYIKO NA MGANDA INAASILI YA UMANDA

 Kikundi cha Kasukilo kikicheza mbele ya jukwaa la mgeni rasmi siku ya Mei Mosi wakiwatakia wafanya kazi kufanya kazi kwa bidii na nidhamu kazini.
 Ligambusa ni kikundi cha Kasukilo Salumu Ligambusa cha Lizaboni  Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma,ni ngoma inayochezwa wakati maalumu kama vile sherehe mbalimbali za kitaifa,asili ya ngoma hii ni mwambao mwa ziwa nyasa hasa Umanda.
 Hiyo ni ngoma ya Ligambusa ikipigwa kama gita  ,pia kama kinanda kwa kuvuta kamba  kwa mguu yenye manyanga juu ya ngoma,basi inapendeza kweli kweli.ukiiona karibu ( live )
Picha ya pamoja ya kikundi hicho maarufu kwa jina la Kasukilo Ligambusa Lizaboni,mji maarufu sana hapa Songea.

No comments:

Post a Comment