Sunday, May 1, 2011

PAPA JOHN PAULO ATHIBITISHWA KUWA MWENYE HERI MUNGU AMPE BARAKA

Waumini wa Roman Catholic Duniani jana wameungana na wenzao Vatican City kwenye mkesha wa ibada ya uthibitisho wa Marehemu Papa John Paulo kuwa mwenye heri.Juma pili ya Pili ya Pasaka Makanisa mengi yametumia nafasi hii kumshukuru  Mungu katika kumfanya Papa huyo kuwa mwenye heri.

No comments:

Post a Comment