Sunday, May 1, 2011

SEND - OFF YA CATHERINE ILIKUWA NA MAMBO MAZURI KWELI HASA KWA WANYWAJI STADI

 Hizi sherehe nazo wakati mwingine wapiga picha wanaweza wakakukuta hujajiandaa wana kuchukua tuu,ulikuwa usiku wa katikati ya sherehe walinipiga picha hii,nakama ninge kuwa bingwa wa kumimina maji sijui ingekuweje.lakini yote mema kwa siku hiyo.
 Baba na Mama Dr.Tonya wa Hospitali ya Peramiho wakienda kutoa nasaha kwa Binti yao Catherine Mwikwa na wageni waalikwa.katika ukumbi wa Songea Club.
Catherine Mwikwa alipewa zawadi nyingi zikiwemo za utamaduni kama huo kingoni wanauita mpasa almaarufu kwa kukalia wageni,wakati wa raha na taabu.

No comments:

Post a Comment