Thursday, June 30, 2011

MBUNGE AIOMBA SERIKALI KUPELEKA CHAKULA JIMBONI KWAKE

Mhe.Hussein Nassor Amar  Mbunge wa Matemwe  CCM aiomba serikali kupeleka chakula katika jimbo lake kwa sasa debe la mahindi ni shilingi 13,000/=,Amesa iwapo serikali haitapeleka chakula na kupunguza baei watu wa jimbo lake watakufa njaa.Maana jimbo hilo limekumbwa na njaa.
Aidha alisema walimu katika jimbo lake wanamatatizo makubwa ,yakiwemo ya Bima ya afya,walimu hao wamemtuma kuwa Bima ya Afya iwe hiyari kwani haiwasaidii na hawaitaki.pia alisema tatizo lingine ni upungufu wa madawati,nyumba za walimu na masilahi ya walimu hayatolewi kwa wakati.

No comments:

Post a Comment