Monday, June 27, 2011

BREAKING NEWS CHILUBA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA AZIKWA LEO

Aliyekuwa Rais wa zamani wa Zambia Frederick Chiluba amezikwa leo,Lusaka Zambia baada ya kupoteza maisha yake kufuatia kwa matatizo ya moyo.Rais Chiluba alianza safari yake ya kuiongoza Zambia kuanzia mwezi Novemba mwaka 1991 hadi Januari 2002. ( Source Lewes Mwanangombe )

No comments:

Post a Comment