Sunday, June 12, 2011

BREAKING NEWS !111JUKWAA LA WATOTO -KAMA HAKUNA MAKTABA WATU WATASOMA NINI ?

Jukwaa la Watoto leo wameuliza mambo kadhaa na kutafuta ufumbuzi wake kama ifuatavyo:-
  • Kama shule haina maktaba  wanafunzi watasoma nini?
  • Mwanafunzi kama hapati chakula shuleni je Atamwelewa mwalimu darasanai?
  • Iwapo vifaa vya kujifunzia na kufundishia havipo shuleni,taaluma itaacha kushuka ?
  • Walimu kama hawana nyumba za kuishi ,je wataweza kufundisha vipindi vyote ?
  • Mwanafunzi akikaa chini darasani ,je ataweza kumsikiliza mwalimu sawasawa na yule aliye keti kwenye dawati?

No comments:

Post a Comment