Thursday, June 30, 2011

Kilimo kwanza ndicho kitakacho mtoa mwananchi kwenye umasikini

 Mhe.Lucy Thomas Mayenga Mbunge Viti Maalum CCM amesema leo Bungeni wakati akichangia Hotuba ya Mhe.Waziri Mkuu kuwa Kilimo kwanza kama kikitekelezwa vizuri ndicho kitakacho mkomboa mkulima amabo ndiyo kundi kubwa.
Aidha Mhe. Mayenga amwemwagia sifa Rais Jakya Kikwete kuwa ni Mtu mwenye moyo mzuri,anacheka na kila mtu,hana kinyongo na mtu ni mtu mkarimu ikiwa ni pamoja na Waziri Mkuu wame sisitiza sana kuhusu kilimo kwanza ,tatizo ni kwa watendaji wa kilimo kwanza waliyo kabidhiwa dhamana hiyo.

No comments:

Post a Comment