Wednesday, June 15, 2011

BREAKING NEWS ! ! ! KUPATWA KWA MWEZI HAKUNA MADHARA KWA WATAKAO UTAZAMA LEO

Mtaalamu wa Sayansi kutoka Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania ( Open University of Tanzania ) Dkt Norarild Haji alisema hayo alipo hojiwa na TBC leo.

Alisema Mwezi kupatwa kwa mwezi ni kitendo cha mwezi kupita katikati ya Kivuli,ambapo mwezi umepatwa kuanzai saa 3.23 itachukua muda wa saa moja hadi saa 4.20.kupatwa kuhu kwa mwezi ni kukubwa ambapo haijawahi kutokea kwa miaka 10.

Hivyo wote wenye kutaka kuangaliwa jinsi mwezi unavyo patwa washuhudie wenyewe,wala wasiwe na wasiwasi kwani hakuna madhara yoyote.( source Dr.Norarild Open)

No comments:

Post a Comment