Wednesday, June 15, 2011

MASHINDANO YA MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI MKOANI RUVUMA IMEFUNGWA LEO KATIKA CHUO CHA UALIMU MATOGORO SONGEA

Mashindano ya michezo ya shule za msingi Mkoani Ruvuma imefungwa leo katika Chuo cha Ualimu Songea Matogoro ambapo wanafunzi kutoka wilaya zote katika mkoa huo walijumuika katika kuandaa michezo hiyo,tayari kwa kwenda kushindana katika ngazi ya  Taifa.

No comments:

Post a Comment