Sunday, June 26, 2011

MASHAMBA YA NGANO YALIYOKO KILIMO UYOLE JIJINI MBEYA

 Hilo ni shamba la ngano ambayo imekauka na iko tayari kuvunwa kwenye shamba la kilimo Uyole Mbeya,ngano inastawi vizuri katika Mkoa huo.
Hilo shamba la ngano la kilimo Uyole mbeya ngano yake bado haija kauka,kwa hiyo kutokana na kilimo chao wamelima kwa awamu awamu ili zipishane katika kukomaa na kukauka na kuivuna ngano yao.

No comments:

Post a Comment