Sunday, June 26, 2011

JUMAPILI YA LEO ILIKUWA NI YA UTALII WA NDANI SAFARINI,MASHAMBA YA CHAI LUPEMBE NJOMBE

 Mashamba ya chai Lupembe Njombe ni ya wawekezaji wa Kiitalia ambao kutokana na mashamba hayo wananchi wa Mkoa wa Njoruma wanapata ajira ya kuchuma chai,kusafisha mashamba,Lakini kutokana na ukuaji wa teknolojia wawekezaji hao wanarahisha kazi ya uchumaji wa chai kwa kutumia mashine za kuchuma chai

Hivyo kitendo hicho cha kutumia mashine za kuchuma chai kunapunguza idadi ya wafanya kazi katika mashamba hayo ambapo hapo awali wananchi wengi waliajiriwa kama vibarua katika kazi ya uchumaji chai.

No comments:

Post a Comment