Saturday, June 25, 2011

MAMBO MOTOMOTO JIJI LA MBEYA JUMAMOSI YA LEO

Wasomaji wa blog hii nawatakia Jumamosi njema,na kupata habari motomoto kutoka jiji la mbeya,ukweli Mji ukisha kuwa Jiji mambo mengi yatajitokeza.
Jiji hili sasa lina show room za magari kwa wale wenye kutaka kununu magari Soweto na nyingine Ilomba (CCM ) ,huvyo wenye nia na haja ya kupata magari basi watafika Jijini Mbeya katika Show room za Soweto na Ilomba.
Una juwa wengi wao walikuwa wakienda D'salaam kufuata magari ya kununua kwa matumizi yao ama ya ofisi,hivyo ili kupunguza gharama Jiji la Mbeya sasa magari yapo.

No comments:

Post a Comment