Wednesday, June 29, 2011

MITI NI MUHIMU KUIPANDA KATIKA MAJENGO YETU KUZUIA UPEPO MKALI

Kupanda miti katika makazi ni jambo la busara sana kwani kuna faida nyingi zikiwepo za:-
  • kuzuia upepo mkali kuezua nyumba.
  • kuhifadhi unyevu katika maeneo yanayo izunguuka nyumba.
  • kuhifadhi unyevu kwenye maeneo yaliyopandwa mibuni,migomba na miwa kama inavyo onekana.
  • Lakini pia kupata mbao ,kuni,mkaa na boriti za kupaulia vibanda,kuni za kuchomia matofali na kupikia.

No comments:

Post a Comment