Tuesday, June 14, 2011

BREAKING NEWS WANAFUNZI 1,200 UDOM KULIPWA MADAI YAO

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Prf.Philipo Mulugo alisema hayo jana wakati wa maswali na majibu Bungeni,ambapo wakati kipindi hicho cha maswali na majibu kinaendelea,wanafunzi wa UDOM tayari walikuwa nje ya ukumbi huo kwa maandamano yaliyo ya  sambaratishwa na Polisi.
Aidha Prf.Mulugo alisema  walioko kwenye Progam 13  watapata fedha zao,alisema serikali itawalipa wanafunzi wote waelimu ja juu wanao omba fedha   kwa ajili ya masomo.
Pia alisema kuwa kiasi cha fedha wanazopata wanafunzi wa elimu ya juu hakitoshelezi hivyo kitaongezwa bila ya kutaja kiasi kitakacho ongezeka.

No comments:

Post a Comment