Wednesday, June 29, 2011

Malengo ya Mhe.Lucy Owenya la pigwa mkwala leo Bungeni.

Malengo ya Mhe.Lucy Phllemon Owenye hayakufanikiwa pale alipopigwa mkwala,kuwa masuala ya maadnamano ya CHADEMA yapo Mahakamani hivyo si vyema kuyazungumzia Bungeni.
Mhe.Owenya alikuwa akitaka kuelezea kuhusu maandamano ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo 
( CHADEMA ) Arusha yaliingiliwa na Polisi,kabala Mhe. Owenya ajaelezea mambo yalikuweje siku hiyo maana nayeye alikuwepo katika maandamano hayo ,aliambiwa aache kuelezea Bunge ingawa yeye ni hodari wa kujieleza,au atafute mbinu nyingine ya kujieleza.Je kuna haki kweli ya kujieleza Bungeni wakati wa kuchangia hoja? ikiwa nikikao cha bajeti,

No comments:

Post a Comment