Sunday, June 26, 2011

JINSI MAHINDI YANAVYO NUNULIWA NA WALANGUZI VJIJINI NA KUPELEKWA NJE YA MKOA WA RUVUMA

 
 
Hivyo ndivyo wakulima wetu wanavyo languliwa mazao yao yangali yakiwa shambani ,kwa na walanguzi hao,kisha huyakusanya kwa bei ya chini,na wao huyasafirisha nje ya mkoa wa Ruvuma.
 Hayo ni mahindi yaliyofuatwa na wafanya biashara wa mazao ya chakula katika vijiji vya Madaba Mkoani Ruvuma wanayarundika hapo baada ya kuyakausha kwa jua.

No comments:

Post a Comment