Saturday, June 11, 2011

JUMAMOSI NJEMA NA SUMMARY YA MATUKIO SONGEA MBINGA WIKI HII

 Songea Rais mstaafu alitangulia kutua Air port Songea
 Baadaye alitua Rais Jakaya Kikwete wote walielekea Mbinga
Madiwani wa manispaa ya Songea walifika kwenye mapokezi
 Rais Kikwete mara baada ya kushuka kwenye ndege na hajavishwa skafu
 Kanisa la Jimbo la mbinga aliposimikwa uaskofu Askofu John Ndimbo mgeni rasmi alikuwa Jakaya Kikwete
 Kanisani Rais Mstaafu ,Mkewe na Rais Kikwete na viongozi wengine wa serikali kanisana Mbinga
 Baadhi ya Maaskofu
 Askofu ndimbo akitoa baraka mara baada ya kuwekwa wakfu
 PICHA YA PAMOJA

No comments:

Post a Comment