Sunday, June 19, 2011

JUMAPILI YANLEO NI PEKEE KATIKA KANISA KUU LA JIMBO KUU LA SONGE,KWA KUMSHUKURU BWANA HAMISSI SADI AU KANGA ULAYA KWA MSAADA WAKE

Familia ya Bwana na Bibi Hammis Sadi ( Joice Lugongo) Bila kujali madhehebu ya dini wao walitoa basi lao,bila malipo yoyote  ili kuwasafirisha mahujaji wa Kitume wa Fatima kwenda Mbeya kwenye kanisa la hija,

Mwenyekiti wa chama cha kitume cha Fatima aliwashukuru zana kwa moyo waliyoutoa wa kutoa basi lao ambalo lilikuwa Mbeya na lilifanya shughuli za kitume kwa muda wote wa siki 5,Mungu awazidishie baraka alisema mwenye kiti huyo.
  Bibi Joice Lugongo alimwakilisha Mmewe kupokea shukrani hizo pia kuwasalimu waumini walisali ibada ya ya pili katika kanisa hilo leo.


No comments:

Post a Comment