Monday, June 27, 2011

KOMBE LA KAGAME SARE YA TAMBA KATI YA YANGA NA AL MEREIKH JANA

 Kikosi cha Yanga ya Dar es salaam kilicho pambana na Al Mereikh  ya Sudan  kutoka sare ya mbili kwa mbili ( 2 - 2 ) katika michezo ya kagame hapo jana.
 Kikosi cha Timu ya Al mereikh kilicho toana jasho na timu ya Yanga katika michezo ya Kagame hapo jana na kutoka sare ya mbili kwa mbili ( 2- 2 ) hadi kipenga cha mwisho alicho puliza refa aliyechezesha mchezo huo.
Mchezaji wa Al mereikh aliyekuwa akishangilia mara baada ya kufunga goli la kwanza la kuifunga timu ya Yanga hapo jana.

No comments:

Post a Comment