Thursday, June 30, 2011

BUNGENI LEO MHE.RITTA KABATI AZITAKA HALMASHAURI ZITENGE MAENEO YA KUFANYIA BIASHARA VIJANA

Mheshimiwa Ritta Enespher Kabati Mbunge Viti Maalum CCM Iringa,ameziomba Halmashauri kutenga maeneo ya kufanyia biashara vijana,na maeneo ya kuegesha Taxi zao.
Aidha ameiomba serikali kuangalia nyumba wanazoishi askari katika Mkoa wa Iringa haziridhishi kwani nyumba moja wanaisha familia zaidi ya mbili..
Mhe.Kabati amekerwa na maswali anayo ulizwa Waziri Mkuu amesema maswali mengine ni ya kumdhalilisha,ameomba kama maswali hayo yakiwa  ni ya kisera zaidi yapelekwe kwa Mawaziri wenye dhamana na hayo.

No comments:

Post a Comment