Sunday, June 12, 2011

Furahia kwaya za dini Mbinga na songea katika ibada Jumapili ya leo

 Jumapili ya leo kwaya hii mchanganyiko katika Jimbo kuu la songea imeimba katika ibada ya kwanza na ya pili kwenye kanisa la Mathias Mulumba Kalemba.

Hiyo ni kwaya ya Porokia ya Mji mwema katika Manispaa ya Songea ambayo nayo imeimba katika Parokia hiyo  katika Ibada ya Juma pili ya leo.


Ibada iliyofanyika katika kanisa la  Jimbo la Mbinga kwaya iliyokoleza ibada,katika kuinjilisha kwa nyimbo na sala.

No comments:

Post a Comment