Wednesday, August 31, 2011

SIKUWEKO KATIKA MTANDAO KWA MUDA NILIKUWA SAFARINI MBEYA ,TULIPUMZIKA MAKAMBAKO

Tulisimama kupata chai na wengine walikwenda kuchimba dawa,ingawa si jambo la kawaida kuchimba dawa mjini.bali ni lugha laini ya kwenda kujisaidia.MakambakoMkoa wa Njombe tukielekea Mbeya na Bus la Supar Feo .Hivyo kuanzia kesho nitakuwepo hai katika mtandao ni kija na mwana mazingira mkoani Ruvuma.

1 comment: