Tuesday, August 2, 2011

MANISPAA YA SONGEA JANA IMEINGIWA NA MAJONZI MAKUBWA BAADA YA KAELFU YA WAKAZI WAKE KWENDA KWENYE MAZISHI YA MSTAHIKI MEYA ALLY MANYA NUMBANI KWAKE LIZABONI

Wananchi na waheshimiwa Madiwani wa Manispaa ya Songea wamempoteza Mstahiki Meya ally Manya aliyezikwa nymbani kwake Lizaboni,kiongozi wa mazishi hayo alikuwa Waziri wa habari na Vijana Mhe.Emanuel Nchimbi ambaye aliongoza maelfu wa waombolezaji katika mazishi ya mstahiki Meya huyo.

Aliweka mikakati kadhaa ya kuinua manispaa hii kimaendeleo na usafi lakini mipango ya Mungu imefanya malengo yake yasitimie.Mungu ailaze roho  ya marehemu Manya mahali peme peponi Amina.

Wakati wa uhai wake Mstahiki Meya Ally Manya akiongea na wadau wa habari na wana habari katika ukumbi wa Songeaa club mwaka huu.

No comments:

Post a Comment